Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Marko - Marko 8

Marko 8:13-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ng'ambo ya pili ya ziwa.
14Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate; walikuwa na mkate mmoja tu katika mashua.
15Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”

Read Marko 8Marko 8
Compare Marko 8:13-15Marko 8:13-15