Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Marko - Marko 4

Marko 4:26-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Yesu akaendelea kusema, “Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani.
27Usiku hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika.
28Udongo wenyewe huiwezesha mimea kukua na kuzaa matunda: kwanza huchipua jani changa, kisha suke, na mwishowe nafaka ndani ya suke.

Read Marko 4Marko 4
Compare Marko 4:26-28Marko 4:26-28