Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 11

Luka 11:48-50

Help us?
Click on verse(s) to share them!
48Kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.
49Kwa hiyo, Hekima ya Mungu ilisema hivi: Nitawapelekea manabii na mitume, lakini watawaua baadhi yao, na kuwatesa wengine.
50Matokeo yake ni kwamba kizazi hiki kitaadhibiwa kwa sababu ya damu ya manabii wote iliyomwagika tangu mwanzo wa ulimwengu;

Read Luka 11Luka 11
Compare Luka 11:48-50Luka 11:48-50