Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - 1Wafalme - 1Wafalme 7

1Wafalme 7:16-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Akatengeneza taji mbili za shaba za kuwekwa juu ya zile nguzo. Kimo cha kila taji ilikuwa mita 2. 3.
17Kulikuwa na nyavu za kuwa kama kazi ya kusuka, na masongo ya mikufu, kwa ajili ya kuvipamba vile vichwa vya nguzo, nayo yailikuwa saba kwa kila kichwa.

Read 1Wafalme 71Wafalme 7
Compare 1Wafalme 7:16-171Wafalme 7:16-17