Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 9

Yohana 9:39-41

Help us?
Click on verse(s) to share them!
39Yesu akasema, “Mimi nimekuja ulimwenguni kutoa hukumu, kusudi wasioona wapate kuona, na wale wanaoona wawe vipofu.”
40Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja naye walisikia maneno hayo, wakamwuliza, “Je, sisi pia ni vipofu?”
41Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa ninyi mwasema: Sisi tunaona, na hiyo yaonyesha kwamba mna hatia bado.

Read Yohana 9Yohana 9
Compare Yohana 9:39-41Yohana 9:39-41