Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 8

Yohana 8:44-45

Help us?
Click on verse(s) to share them!
44Ninyi ni wa baba yenu, shetani, na mnataka kuzitenda tamaa za baba yenu. Alikuwa mwuaji tangu mwanzo na hawezi kusimama katika kweli kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anapoongea uongo, anaongea kutoka kwenye asili yake kwa sababu ni mwongo na baba wa uongo.
45Hata sasa, kwa sababu ninasema iliyo kweli, hamniamini.

Read Yohana 8Yohana 8
Compare Yohana 8:44-45Yohana 8:44-45