Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 8

Yohana 8:32-33

Help us?
Click on verse(s) to share them!
32Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
33Nao wakamjibu, “Sisi ni wazawa wa Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote yule. Una maana gani unaposema: mtakuwa huru?”

Read Yohana 8Yohana 8
Compare Yohana 8:32-33Yohana 8:32-33