Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 8:32-33 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 8:32-33 in Biblia Takatifu

32 Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
33 Nao wakamjibu, “Sisi ni wazawa wa Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote yule. Una maana gani unaposema: mtakuwa huru?”
Yohana 8 in Biblia Takatifu

Yohana 8:32-33 in Biblia ya Kiswahili

32 nanyi mtaijua kweli, na kweli itawaweka huru.”
33 Walimjibu, “Sisi ni uzao wa Ibrahimu na kamwe hatujawahi kwa chini ya utumwa wa yeyote; utasemaje, “Tutawekwa huru?”
Yohana 8 in Biblia ya Kiswahili