Text copied!
BREAK EVERY YOKE
About
Bibles
All Languages
All Translations
All Countries
Back to Homepage
About Break Every Yoke
Bibles in Swahili (individual language)
Yohana 8:32-33 in Swahili (individual language)
Help us?
Yohana 8:32-33
in
Biblia Takatifu
32
Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
33
Nao wakamjibu, “Sisi ni wazawa wa Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote yule. Una maana gani unaposema: mtakuwa huru?”
Yohana 8 in Biblia Takatifu
Yohana 8:32-33
in
Biblia ya Kiswahili
32
nanyi mtaijua kweli, na kweli itawaweka huru.”
33
Walimjibu, “Sisi ni uzao wa Ibrahimu na kamwe hatujawahi kwa chini ya utumwa wa yeyote; utasemaje, “Tutawekwa huru?”
Yohana 8 in Biblia ya Kiswahili
Home
About
Donate
Patreon
Privacy
Terms