Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:8-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Pandeni kwenda katika sikukuu; mimi siendi katika sikukuu hii kwa sababu muda wangu haujakamilika bado.鈥
9Baada ya kusema mambo hayo kwao, alibaki Galilaya.
10Hata hivyo, ndugu zake walipokuwa wamekwenda katika sikukuu, ndipo naye alienda, siyo kwa wazi bali kwa siri.
11Wayahudi walikuwa wakimtafuta katika sikukuu na kusema, 鈥淵uko wapi?鈥
12Kulikuwa na majadiliano mengi miongoni mwa makutano juu yake. Wengine walisema, 鈥淣i mtu mwema.鈥 Wengine walisema, 鈥淗apana, huwapotosha makutano.鈥
13Hata hivyo hakuna aliyezungumza wazi juu yake kwa kuwaogopa Wayahudi.
14Wakati sikukuu ilipofika katikati, Yesu alipanda kwenda Hekaluni na kuanza kufundisha.

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:8-14Yohana 7:8-14