Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:40-41

Help us?
Click on verse(s) to share them!
40Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, “Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!”
41Wengine wakasema, “Huyu ndiye Kristo!” Lakini wengine walisema, “Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:40-41Yohana 7:40-41