Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 7:40-41 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 7:40-41 in Biblia Takatifu

40 Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, “Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!”
41 Wengine wakasema, “Huyu ndiye Kristo!” Lakini wengine walisema, “Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?
Yohana 7 in Biblia Takatifu

Yohana 7:40-41 in Biblia ya Kiswahili

40 Baadhi ya makutano, waliposikia maneno haya, walisema, “Kweli huyu ni nabii.”
41 Wengine walisema, “Huyu ni Kristo.” Lakini wengine walisema, “nini, Kristo aweza kutoka Galilaya?
Yohana 7 in Biblia ya Kiswahili