Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:19-25

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Musa hakuwapa nyinyi sheria? Lakini hakuna hata mmoja kati yenu atendaye sheria. Kwa nini mnataka kuniua?
20Makutano wakajibu, “Una pepo. Nani anataka kukuua?”
21Yesu akajibu na akawaambia, “Nimetenda kazi moja, nanyi nyote mmeshangazwa kwa sababu yake.
22Musa aliwapa tohara (siyo kwamba inatoka kwa Musa, bali ile inatoka kwa mababa), na katika Sabato mnamtahili mtu.
23Iwapo mtu atapokea tohara katika siku ya Sabato ili kwamba sheria ya Musa isivunjwe, kwa nini mnanikasirikia mimi kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa katika Sabato?
24Msihukumu kulingana na mwonekano, bali hukumuni kwa haki.
25Baadhi yao kutoka Yerusalemu wakasema, “Siye huyu wanayemtafuta kumwua?

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:19-25Yohana 7:19-25