Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Baada ya hayo, Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya. Hakutaka kutembea mkoani Yudea kwa sababu viongozi wa Wayahudi walikuwa wanataka kumwua.
2Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:1-2Yohana 7:1-2