Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Na baada ya mambo haya Yesu alisafiri hivi katika Galilaya, kwa sababu hakupenda kwenda Uyahudi kwa sababu wayahudi walikuwa wakifanya mipango ya kumwua.
2Sasa sikukuu ya Wayahudi, sikukuu ya Vibanda, ilikuwa karibu.

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:1-2Yohana 7:1-2