Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 5

Yohana 5:30-31

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30“Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.
31Nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushahidi wangu hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli.

Read Yohana 5Yohana 5
Compare Yohana 5:30-31Yohana 5:30-31