Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 4

Yohana 4:48-51

Help us?
Click on verse(s) to share them!
48Ndipo Yesu akamwambia, “Ninyi msipoona ishara na maajabu hamwezi kuamini.
49Kiongozi akasema, “Bwana shuka chini kabla mwanangu hajafa.”
50Yesu akamwambia, “Nenda mwanao ni mzima.” Yule mtu akaamini neno alilolisema Yesu na akaenda zake.
51Alipokuwa akishuka, watumishi wake walimpokea na kumwambia mwana wake alikuwa mzima.

Read Yohana 4Yohana 4
Compare Yohana 4:48-51Yohana 4:48-51