16Yesu akamwambia, “Nenda kamwite mumeo, kisha urudi.”
17Mwanamke akamwambia, “Sina mume.” Yesu akajibu, “Umesema vyema, 'Sina mume;'
18kwa maana umekuwa na wanaume watano, na mmoja ambaye unaye sasa sio mume wako. Katika hili umesema kweli!”
19Mwanamke akamwambia, “Bwana naona yakuwa wewe ni nabii.