Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 3

Yohana 3:6-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.
7Usistaajabu kwamba nimekwambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya.
8Upepo huvuma kuelekea upendako; waisikia sauti yake, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda. Ndivyo ilivyo kwa mtu aliyezaliwa kwa Roho.”
9Nikodemo akamwuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Read Yohana 3Yohana 3
Compare Yohana 3:6-9Yohana 3:6-9