Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 3

Yohana 3:16-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
17Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu.
18“Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.

Read Yohana 3Yohana 3
Compare Yohana 3:16-18Yohana 3:16-18