Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 21

Yohana 21:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Yesu akawambia, “Leteni baadhi ya samaki mliovua sasa hivi.”
11Basi Simon Petro akapanda na kuukokota ule wavu uliokuwa umejaa samaki wakubwa, kiasi cha samaki 153; japo walikuwa wengi, ule wavu haukuchanika.
12Yesu akawaambia, “Njoni mpate kifungua kinywa.” Hakuna hata mmoja wa wanfunzi aliyethubutu kumwuliza, “Wewe ni nani?” Walijua kuwa alikuwa ni Bwana.

Read Yohana 21Yohana 21
Compare Yohana 21:10-12Yohana 21:10-12