Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Wimbo wa Sulemani - Wimbo wa Sulemani 7

Wimbo wa Sulemani 7:10-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Mimi ni wa mpenzi wangu, na ananitamani.
11Njoo, mpenzi wangu, twende nje ya mji; tu lala usiku kwenye vijiji.
12Tuamke mapema twende kwenye mashamba ya mizabibu; tuone kama mizabibu imemea, kama imechipua, na kama mikomamanga imetoa mau. Pale nitakupa penzi langu.
13Mitunguja ya toa harufu yake; katika mlango wa tunapoishi kuna kila aina ya matunda, mpya na ya kale, niliyo kuhifadhia, mpenzi wangu.

Read Wimbo wa Sulemani 7Wimbo wa Sulemani 7
Compare Wimbo wa Sulemani 7:10-13Wimbo wa Sulemani 7:10-13