10Mimi ni wa mpenzi wangu, na ananitamani.
11Njoo, mpenzi wangu, twende nje ya mji; tu lala usiku kwenye vijiji.
12Tuamke mapema twende kwenye mashamba ya mizabibu; tuone kama mizabibu imemea, kama imechipua, na kama mikomamanga imetoa mau. Pale nitakupa penzi langu.