11Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
12Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
13Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.