Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Warumi - Warumi 15

Warumi 15:19-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19kwa nguvu za ishara na maajabu, na kwa nguvu za Roho Mtakatifu. Hii ilikuwa ili kwamba kutoka Yerusalem, na kuzungukia mbali kama Iliriko, niweze kuichukua nje kwa ukamilifu injili ya Kristo.
20Kwa njia hii, nia yangu imekuwa kuitangaza injili, lakini si mahali Kristo anajulikana kwa jina, ili kwamba nisiweze kujenga juu ya msingi wa mtu mwingine.
21Kama ilivyoandikwa: “Ambao kwa yeye hawana habari zake alikuja watamwona, na wale ambao hawakumsikia watamfahamu.”
22Kwahiyo nilikuwa pia nimezuiliwa mara nyingi kuja kwenu.

Read Warumi 15Warumi 15
Compare Warumi 15:19-22Warumi 15:19-22