Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 9

Mhubiri 9:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Kwa kuwa nilifikiri haya yote katika akili zangu kufahamu kuhusu watu wenye haki na wenye hekima na matendo yao. Wote wako katika mikono ya Mungu. Hakuna anayefahamu kama upendo au chuki itakuja kwa mtu.
2kila mmoja ana mwisho sawa. Mwisho sawa una subiria watu wenye haki na waovu, wema, walio safi na wasio safi, yeye atoaye dhabibu na yule asiye dhabihu. Kama vile watu wema watakufa wenye dhambi nao watakufa vivyo hivyo. kama vile yule anayeapa atakavyo kufa, vivyo hivyo mtu yule aogopaye kuweka kiapo naye atakufa.

Read Mhubiri 9Mhubiri 9
Compare Mhubiri 9:1-2Mhubiri 9:1-2