Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 7

Mhubiri 7:12-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Kwa kuwa hekima hutoa ulinzi kama vile fedha inavyoweza kutoa ulinzi, lakini faida ya maarifa ni kwamba hekima humpa uhai kwa yeyote aliye nayo.
13Tafakaria matendo ya Mungu: Ni nani awezaye kuimarisha chochote alichokipindisha?

Read Mhubiri 7Mhubiri 7
Compare Mhubiri 7:12-13Mhubiri 7:12-13