Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 4

Mhubiri 4:9-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Watu wawili wanafanya vizuri zaidi ya mmoja; kwa pamoja wanaweza kupata malipo mazuri kwa ajili ya kazi yao.
10Kwa kuwa kama mmoja akianguka, mwingine anaweza kumwinua rafiki yake. Ingawa, huzuni humfuata yeye aliye peke yake anapoanguka kama hakuna mtu wa kumwinua.
11Na kama wawili wakilala pamoja, wanaweza kupata joto, lakini mtu mmoja anawezaje kupata joto akiwa mwenyewe?
12Mtu akiwa peke yake anaweza kushindwa nguvu, lakini wawili wanaweza kusimama katika shambulio, na kama ya nyuzi tatu haikatika upesi.

Read Mhubiri 4Mhubiri 4
Compare Mhubiri 4:9-12Mhubiri 4:9-12