Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 1

Mhubiri 1:15-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Palipopinda hapawezi kunyoshwa! Kisicho kuwepo hakiwezi kuhesabiwa!
16Nimeuambia moyo wangu nikisema, “Tazama, nimepata hekima kubwa kuliko walioishi Yerusalemu kabla yangu. Akili yangu imeona hekima kubwa na ufahamu.”

Read Mhubiri 1Mhubiri 1
Compare Mhubiri 1:15-16Mhubiri 1:15-16