Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 1

Mhubiri 1:11-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Hakuna anayeonekana kukumbuka kilichotokea nyakati za zamani. Na mambo yaliyo tokea siku zilizo pita na yale yatakayo tokea siku za mbele nayo hayatakumbukwa.”
12Mimi ni mwalimu, na nimekuwa mfalme juu ya Isareli katika Yerusalemu.

Read Mhubiri 1Mhubiri 1
Compare Mhubiri 1:11-12Mhubiri 1:11-12