Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 8:38-40 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 8:38-40 in Biblia Takatifu

38 Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo ofisa wakashuka majini, naye Filipo akambatiza.
39 Walipotoka majini Roho wa Bwana akamfanya Filipo atoweke. Na huyo Mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea na safari yake akiwa amejaa furaha.
40 Filipo akajikuta yuko Azoto, akapita katika miji yote akihubiri Habari Njema mpaka alipofika Kaisarea.
Matendo 8 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 8:38-40 in Biblia ya Kiswahili

38 Walikwenda ndani ya maji, pamoja Filipo na towashi, Filipo akambatiza.
39 Wakati walipotoka kwenye maji, Roho wa Bwana ikampeleka Filipo mbali; towashi hakumwona, akaenda njia yake akishangilia.
40 Lakini Philipo akatokea Azoto. Alipita katika mkoa ule na kuhubiri injili katika miji yote mpaka alipofika Kaisaria.
Matendo ya Mitume 8 in Biblia ya Kiswahili