Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 8

Matendo 8:38-40

Help us?
Click on verse(s) to share them!
38Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo ofisa wakashuka majini, naye Filipo akambatiza.
39Walipotoka majini Roho wa Bwana akamfanya Filipo atoweke. Na huyo Mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea na safari yake akiwa amejaa furaha.
40Filipo akajikuta yuko Azoto, akapita katika miji yote akihubiri Habari Njema mpaka alipofika Kaisarea.

Read Matendo 8Matendo 8
Compare Matendo 8:38-40Matendo 8:38-40