Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 16

Matendo 16:23-25

Help us?
Click on verse(s) to share them!
23Baada ya kupigwa sana wakatiwa ndani, na askari wa gereza akaamriwa kuwaweka chini ya ulinzi mkali.
24Kutokana na maagizo hayo, huyo askari aliwaweka katika chumba cha ndani kabisa cha gereza na kuifunga miguu yao kwenye nguzo.
25Karibu na usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakisali na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwa wanasikiliza.

Read Matendo 16Matendo 16
Compare Matendo 16:23-25Matendo 16:23-25