Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 14:1-2 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 14:1-2 in Biblia Takatifu

1 Kule Ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule Antiokia; Paulo na Barnaba walikwenda katika sunagogi la Wayahudi wakaongea kwa uhodari hata Wayahudi wengi na Wagiriki wakawa waumini.
2 Lakini Wayahudi wengine waliokataa kuwa waumini walichochea na kutia chuki katika mioyo ya watu wa mataifa mengine ili wawapinge hao ndugu.
Matendo 14 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 14:1-2 in Biblia ya Kiswahili

1 Ikatokea ndani ya Ikonio kwamba Paulo na Barnaba waliingia pamoja ndani ya sinagogi la Wayahudi nakuongea namna ambayo kundi kubwa la watu Wayahudi na Wayunani waliamini.
2 Lakini wayahudi wasiotii waliwachochea akili wamataifa na kuwafanya kuwa wabaya dhidi ya ndugu.
Matendo ya Mitume 14 in Biblia ya Kiswahili