Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 14

Matendo 14:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Kule Ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule Antiokia; Paulo na Barnaba walikwenda katika sunagogi la Wayahudi wakaongea kwa uhodari hata Wayahudi wengi na Wagiriki wakawa waumini.
2Lakini Wayahudi wengine waliokataa kuwa waumini walichochea na kutia chuki katika mioyo ya watu wa mataifa mengine ili wawapinge hao ndugu.

Read Matendo 14Matendo 14
Compare Matendo 14:1-2Matendo 14:1-2