Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 13

Matendo 13:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Basi, Barnaba na Saulo walipokwisha tumwa na Roho Mtakatifu, walishuka hadi Seleukia, na kutoka huko walipanda meli hadi kisiwa cha Kupro.
5Walipofika Salami walihubiri neno la Mungu katika masunagogi ya Kiyahudi. Yohane (Marko) alikuwa msaidizi wao.
6Walitembea toka upande mmoja wa kisiwa mpaka Pafo upande wa pili, na huko walimkuta mchawi mmoja Myahudi aitwaye Baryesu ambaye alijisingizia kuwa nabii.

Read Matendo 13Matendo 13
Compare Matendo 13:4-6Matendo 13:4-6