Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 13

Matendo 13:34-35

Help us?
Click on verse(s) to share them!
34Na juu ya kumfufua kutoka wafu, asipate tena kurudi huko na kuoza, Mungu alisema hivi: Nitakupa baraka takatifu na za kweli nilizomwahidia Daudi.
35Naam, na katika sehemu nyingine za zaburi asema: Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.

Read Matendo 13Matendo 13
Compare Matendo 13:34-35Matendo 13:34-35