Text copied!
BREAK EVERY YOKE
About
Bibles
All Languages
All Translations
All Countries
Back to Homepage
About Break Every Yoke
Bibles in Swahili (individual language)
Matendo 13:34-35 in Swahili (individual language)
Help us?
Matendo 13:34-35
in
Biblia Takatifu
34
Na juu ya kumfufua kutoka wafu, asipate tena kurudi huko na kuoza, Mungu alisema hivi: Nitakupa baraka takatifu na za kweli nilizomwahidia Daudi.
35
Naam, na katika sehemu nyingine za zaburi asema: Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.
Matendo 13 in Biblia Takatifu
Matendo ya Mitume 13:34-35
in
Biblia ya Kiswahili
34
Pia kuhusu ukweli ni kwamba alimfufua kutoka wafu ili kwamba mwili wake usiharibike, ameongea hivi: 'Nitakupatia utakatifu na baraka halisi za Daudi'
35
Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine, 'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.'
Matendo ya Mitume 13 in Biblia ya Kiswahili
Home
About
Donate
Patreon
Privacy
Terms