Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 13:34-35 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 13:34-35 in Biblia Takatifu

34 Na juu ya kumfufua kutoka wafu, asipate tena kurudi huko na kuoza, Mungu alisema hivi: Nitakupa baraka takatifu na za kweli nilizomwahidia Daudi.
35 Naam, na katika sehemu nyingine za zaburi asema: Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.
Matendo 13 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 13:34-35 in Biblia ya Kiswahili

34 Pia kuhusu ukweli ni kwamba alimfufua kutoka wafu ili kwamba mwili wake usiharibike, ameongea hivi: 'Nitakupatia utakatifu na baraka halisi za Daudi'
35 Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine, 'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.'
Matendo ya Mitume 13 in Biblia ya Kiswahili