Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Marko - Marko 8

Marko 8:15-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”
16Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”

Read Marko 8Marko 8
Compare Marko 8:15-16Marko 8:15-16