Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 24

Mambo ya Walawi 24:8-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Kila siku ya Sabato kuhani mkuu sharti aipange kwa utaratibu hiyo mikate mbele za Yahweh kwa niaba ya watu wa Israeli, iwe ishara ya agano la milele.
9Sadaka hii itakuwa kwa ajili ya Aroni na wanawe, na ni lazima waile mahali palipo patakatifu, kwa kuwa ni sehemu ya matoleo kwa Yahweh yaliyofanywa kwa moto.”

Read Mambo ya Walawi 24Mambo ya Walawi 24
Compare Mambo ya Walawi 24:8-9Mambo ya Walawi 24:8-9