Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 24:8-9 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 24:8-9 in Biblia ya Kiswahili

8 Kila siku ya Sabato kuhani mkuu sharti aipange kwa utaratibu hiyo mikate mbele za Yahweh kwa niaba ya watu wa Israeli, iwe ishara ya agano la milele.
9 Sadaka hii itakuwa kwa ajili ya Aroni na wanawe, na ni lazima waile mahali palipo patakatifu, kwa kuwa ni sehemu ya matoleo kwa Yahweh yaliyofanywa kwa moto.”
Mambo ya Walawi 24 in Biblia ya Kiswahili