Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 14

Mambo ya Walawi 14:31-33

Help us?
Click on verse(s) to share them!
31moja kama ya sadaka ya dhambi na nyingine kama sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sadaka ya nafaka. Ndipo kuhani atafanya upatanisho kwaajili ya yule ambaye atatakaswa mbele za Yahwe.
32Hii ni sheria kwaajili ya mtu kwake kuna athari za ugonjwa wa ngozi, ambaye hawezi kumudu kiwango cha sadaka kwaajili ya utakaso wake.”
33Yahwe alizungumza na Musa na Haruni, akisema,

Read Mambo ya Walawi 14Mambo ya Walawi 14
Compare Mambo ya Walawi 14:31-33Mambo ya Walawi 14:31-33