Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 14:31-33 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 14:31-33 in Biblia ya Kiswahili

31 moja kama ya sadaka ya dhambi na nyingine kama sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sadaka ya nafaka. Ndipo kuhani atafanya upatanisho kwaajili ya yule ambaye atatakaswa mbele za Yahwe.
32 Hii ni sheria kwaajili ya mtu kwake kuna athari za ugonjwa wa ngozi, ambaye hawezi kumudu kiwango cha sadaka kwaajili ya utakaso wake.”
33 Yahwe alizungumza na Musa na Haruni, akisema,
Mambo ya Walawi 14 in Biblia ya Kiswahili