Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 2

Luka 2:21-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
21Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
22Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na Sheria ya Mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele ya Bwana.

Read Luka 2Luka 2
Compare Luka 2:21-22Luka 2:21-22