Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 2

Luka 2:21-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
21Ilipofika siku ya nane na ilikuwa ni wakati wa kumtahiri mtoto, wakamwita jina Yesu, jina alilokwishapewa na yule malaika kabla mimba haijatungwa tumboni.
22zao zilizotakiwa za utakaso zilipopita, kulingana na sheria ya Musa, Yusufu na Mariamu wakampeleka hekaluni kule Yerusalemu kumweka mbele za Bwana.

Read Luka 2Luka 2
Compare Luka 2:21-22Luka 2:21-22