Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 17

Luka 17:6-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Bwana akasema, “kama mgekuwa na imani kama punje ya haradarii, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, 'n'goka na ukaote baharini,' nao ungewatii.
7Lakini nani miongoni mwenu, ambaye ana mtumishi anayelima shamba au anayechunga kondoo, atamwambia arudipo shambani, 'Njoo haraka na keti ule chakula?

Read Luka 17Luka 17
Compare Luka 17:6-7Luka 17:6-7