Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 17

Luka 17:6-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Naye Bwana akajibu, “Kama imani yenu ingekuwa ndogo hata kama chembe ndogo ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu: Ng'oka ukajipandikize baharini, nao ungewatii.
7“Tuseme mmoja wenu ana mtumishi ambaye analima shambani au anachunga kondoo. Je, anaporudi kutoka shambani, atamwambia: Haraka, njoo ule chakula?

Read Luka 17Luka 17
Compare Luka 17:6-7Luka 17:6-7