Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 12

Luka 12:13-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Mtu mmoja katika kusanyiko akamwambia, 鈥淢walimu, mwambie ndugu yangu anigawie sehemu ya uruthi wangu.鈥
14Yesu akamjibu, ni nani aliye niweka kuwa mwamuzi na mpatanishi kati yenu.?
15Ndipo akawaambia, Jihadharini na kila namna ya tamaa, kwa sababu uzima wa mtu hauko katika wingi wa vitu alivyo navyo.鈥
16Yesu akawaambia mfano, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana,
17na akajiuliza ndani yake, akisema, nitafanyaje kwani sina mahali pa kuhifadhi mazao yangu?
18Akasema, nitafanya hivi. Nitavunja ghala zangu ndogo na kujenga iliyo kubwa, na kuyahifadhi mazao yangu yote na vitu vingine.

Read Luka 12Luka 12
Compare Luka 12:13-18Luka 12:13-18