Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 11

Luka 11:37-41

Help us?
Click on verse(s) to share them!
37Alipomaliza kuongea, Farisayo alimwalika akale chakula nyumbani kwake, naye Yesu akaingia ndani na kuwa pamoja nao.
38Na Mafarisayo wakashangaa kwa jinsi ambavyo hakunawa kwanza kabla ya chakula cha jioni.
39Lakini Bwana akawaambia, “Ninyi Mafarisayo mnaosha nje ya vikombe na bakuli, lakini ndani yenu mmejaa tamaa na uovu.
40Ninyi watu msio na ufahamu, Je yeye aliyeumba nje hakuumba na ndani pia?
41Wapeni masikini yaliyo ndani, na mambo yote yatakuwa safi kwenu.

Read Luka 11Luka 11
Compare Luka 11:37-41Luka 11:37-41