Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 48

Zaburi 48:9-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
10Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.

Read Zaburi 48Zaburi 48
Compare Zaburi 48:9-10Zaburi 48:9-10