Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yoshua 15:28-51 in Swahili (individual language)

Help us?

Yoshua 15:28-51 in Biblia ya Kiswahili

28 Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
29 Baala, Limu, Ezemu,
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
31 Ziklagi, Madimana, Sansana,
32 Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33 Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
34 Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36 Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera (ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37 Zena, Hadasha, Migidagadi,
38 Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
39 Lakishi, Bozikathi, Egloni.
40 Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
41 Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
42 Libna, Etheri, Ashani,
43 Ifuta, Ashina, Nezibu,
44 Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
45 Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
46 kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
47 Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48 Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49 Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
50 Anabu, Eshitemo, Animu,
51 Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
Yoshua 15 in Biblia ya Kiswahili